Waliochaguliwa Kidato Cha Tano na Vyuo vya Kati 2025




Waliochaguliwa Kidato Cha Tano na Vyuo vya Kati 2025,Selection Form Five 2025, Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato Cha Tano 2025 na Vyuo vya Kati, Form five Selection 2025.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Uchaguzi wa wanafunzi kujiunga na kidato cha tano na vyuo vya kati, Selection Form Five au form five slection ni utaratibu uliowekwa na Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) pamoja na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTVET).

Kila mwaka, baada ya Matokeo ya Mtihani wa kidato cha Nne, waliochaguliwa kidato cha Tano hutangazwa ambapo Wanafunzi hupangiwa shule kulingana na alama walizopata na vigezo vingine vilivyowekwa na serikali.

Hii ni hatua muhimu kwa wazazi, walezi, na wanafunzi kujiandaa kwa Safari mpya ya Elimu ya juu ya Sekondari.

Kuona Matokeo ya Uchaguzi Kidato Cha Tano 2025 moja kwa moja kwa urahisi Chagua Mkoa wako hapa chini, Chagua Wilaya pamoja na Shule uliyoma.

BOFYA HAPA CHINI KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA


CHAGUA MKOA ULIKOSOMA

NB: SELECTION ZA FORM FIVE 2025 ZINATOKA HIVI KARIBUNI:

  1. ARUSHA
  2. DAR ES SALAAM
  3. DODOMA
  4. GEITA
  5. IRINGA
  6. KAGERA
  7. KATAVI
  8. KIGOMA
  9. KILIMANJARO
  10. LINDI
  11. MANYARA
  12. MARA
  13. MBEYA
  14. MOROGORO
  15. MTWARA
  16. MWANZA
  17. NJOMBE
  18. PWANI
  19. RUKWA
  20. RUVUMA
  21. SHINYANGA
  22. SIMIYU
  23. SINGIDA
  24. SONGWE
  25. TABORA
  26. TANGA

Sultan Uwezo

In our hands you will find out Songs and Videos of Various Artists without forgetting News from Newspapers. Here you will also find Employment's Information from the Government and the Private Sectors.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Contact Form